MEI 19 mwaka 2018, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DK John Pombe Magufuli akimkabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa Nahodha wa Simba, John Raphael Bocco.
Tiara kumbuka daima Dk.John Pombe Magufuli. Pumzika kwa amani.