STARS YATOA SARE 1-1 NA SUDAN DAR


TANZANIA imelazimishwa sare ya 1-1 na Sudan katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Sudan ilitangulia kwa bao la Sadiq Totto mapema tu dakika ya pili, kabla ya Simon Msuva kuisawazishia Taifa Stars dakika ya 67.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post