VIGOGO, Yanga SC ndio watakata utepe katika Hatua ya Robo Fainali Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) kwa kumenyana na Geita Gold Aprili 10, mwaka huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
