TWIGA STARS WANAVYOJIANDAA NA KOMBE LA CHALLENGE KAMBINI BUKOBA
byMtibwaCity-
0
WACHEZAJI wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Bara, Twiga Stars wakiwa mazoezini Uwanja wa Kaitaba, Bukoba, Kagera kujiandaa na mashindano ya CECAFA Challenge Wanawake yatakayofanyika Uganda mwezi Juni.