TWIGA STARS WANAVYOJIANDAA NA KOMBE LA CHALLENGE KAMBINI BUKOBA




WACHEZAJI wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Bara, Twiga Stars wakiwa mazoezini Uwanja wa Kaitaba, Bukoba, Kagera kujiandaa na mashindano ya CECAFA Challenge Wanawake yatakayofanyika Uganda mwezi Juni.






Post a Comment (0)
Previous Post Next Post