HomeMTBsports AZAM PUNGUFU YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 JAMHURI byMtibwaCity -June 25, 2022 0 TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Tags: MTBsports Facebook Twitter