AZAM PUNGUFU YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 JAMHURI

TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. 



Post a Comment (0)
Previous Post Next Post