HomeMTBsports FAINALI LIGI YA MABINGWA WA MIKOA KUFANYIKA KILIMANJARO byMtibwaCity -April 02, 2023 0 FAINALI za Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) zinatarajiwa kufanyika kati ya Aprili 19 na 28 mkoani Kilimanjaro ikishirikisha jumla ya timu nane zilizofuzu kutoka makundi manne. Tags: MTBsports Facebook Twitter