SIMBA NA YANGA YAINGIZA SH MILIONI 410


MCHEZO wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga uliofanyika Jumapili iliyopita Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam umeingiza kiasi cha Sh. Milioni 410 na ushei.
Lakini katika mgawanyo wa mapato hayo, timu mwenyeji, Simba SC iliyowachapa watani 2-0 imepata kisi Sh. Milioni 188 na ushei.




Post a Comment (0)
Previous Post Next Post