COASTAL UNION YAICHAPA SINGIDA 1-0 MECHI YA KIRAFIKI MKWAKWANI


BAO la mshambuliaji mpya, Dennis Modzaka aliyesajiliwa kutoka Bechem United F.C. ya kwao, Ghana limeipa Coastal Unión ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post