HomeMTBsports MAZOEZI YA SIMBA SC LEO KUJIANDAA NA FAINALI YA NGAO YA JAMII JUMAPILI byMtibwaCity -August 11, 2023 0 WACHEZAJI wa Simba SC wakiwa mazoezini leo kujiandaa na mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya watani, Yanga SC Jumapili Uwanja wa Mkwakwani Jijiji Tanga. PICHA: WACHEZAJI WA SIMBA SC WAKIWA MAZOEZINI TANGA LEO Tags: MTBsports Facebook Twitter