VIPORO VYA AZAM, SIMBA, YANGA NA SINGIDA VYAPEWA TAREHE LIGI KUU


MICHEZO mitatu ya Ligi Kuu ya NBC inazozihusu timu za Azam, Simba, Singida Fountain Gate na Yanga ambayo ilikuwa haijapangiwa tarehe hatimaye imekwishapingiwa siku ya kufanyika kwake.




Post a Comment (0)
Previous Post Next Post