DIARRA NA AUCHO BAADA YA MALI KUICHAPA UGANDA 1-0 JANA BAMAKO


KIPA wa Mali, Djigui Diarra (kushoto) na kiungo wa Uganda, Khalid Aucho ambao wote ni wachezaji wa klabu ya Yanga baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa jana Uwanja wa Machi 26 Jijini Bamako nchini Mali ambayo wenyeji walishinda 1-0.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post