WANACHAMA SIMBA WAPEWA HADI DESEMBA 31 MAONI YA KATIBA
byMtibwaCity-
0
UONGOZI wa Simba umewahamasisha wanachama wake kuwa wamemaliza kutoa maoni yao juu ya marekebisho ya Katiba ya klabu hiyo hadi kufika Desemba 31, mwaka huu ili mchakato huo uweze kukamilishwa.