HomeMTBsports SUNDERLAND NDIYE MDHAMINI MPYA WA JEZI SIMBA SC byMtibwaCity -June 16, 2023 0 KAMPUNI ya Sunderland imeingia mkataba wa udhamini wa jezi na klabu ya Simba wenye thamani ya Sh. Bilioni 2 kwa mwaka miaka miwili. Sunderland wanachukua nafasi ya Vunja Bei ambaye amemaliza mkataba wake wa miaka miwili. PICHA: HAFLA YA UTAMBULISHO WA SUNDERLAND SIMBA SC LEO Tags: MTBsports Facebook Twitter