AZAM FC YAMUONGEZA MKATABA YAHYA ZAYD HADI 2026


KLABU ya Azam FC imemsainisha mkataba mpya wa miaka miwili na kiungo wake mshambuliaji, Yahya Zaid, ambao utamfanya aendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post